Hajj Background

Zadaawa Hajj & Umrah
Travelling Agency

Safiri nasi kwa huduma bora safari yenye uhakika na kwa viongozi wenye uzoefu wa hali ya juu

Huduma Zetu

Huduma Zetu

Suluhisho kamili za safari za Hajj na Umrah zilizoundwa kufanya safari yako iwe salama, na ya kukumbukwa.

Hajj Pilgrimage
Safari ya Hijja

Hijja 2026 / 1447H

Safari kamili ya Hijja kwa mwaka 2026 (1447 Hijriya) huduma bora za usafiri, makazi, na mafunzo.

$
6,300tu
Mwezi Mmoja
Makka & Madina
Soma Zaidi
Umrah Pilgrimage
Safari ya Umrah

Umrah December 2025

Safari ya Umrah ya siku kumi na huduma kamili pamoja na zawadi ya maji ya Zamzam.

TZS
5,000,000tu
Siku 10
Makka na Madinah
Soma Zaidi

Mipango ya Ndege

Usafiri wa ndege wa kampuni zenye viwango vya kimataifa kama :

  • oman Air
  • Qatar Airways
  • Dubai Air

Makazi

Hoteli za viwango vya juu zilizokuepo karibu sana na miskiti yote miwili ya Makkah na Madinah

  • Karibu sana na maeneo takatifu
  • Chakula milo mitatu kwa siku
  • Matibabu masaa 24

Mafunzo

Tunatoa mafuzo na semina za hija kabla ya safari na ndani ya safari

  • Tunatoa Vitabu vya mafunzo ya hija kwa lugha ya kiswahili
  • Tunaandaa Makongamano ya Elimu ya Hija kila Mkoa na kila mwaka

Usafiri

Tunatoa usafiri kutoka kila mkoa mpaka sehemu ya kuondokea na ziara ya maeneo yote matakatifu

  • Usafiri utaanza mkoa ulipo
  • ziara ya maeneo matakatifu na ya kihistoria Makkah na Madinah

Vibali vya Safari

Bima kamili ya safari inayojumuisha dharura za matibabu, kujaliwa katika safari

  • Ubora wa matibabu
  • Usalama wa safari
  • Usalama wa mizigo yako
  • Msaada wa saa 24/7

Msaada wa Saa 24/7

Msaada Kwa mahujaji wetu Kwa masaa 24/7 kuanzia mwanzo wa safari mpk kurudi kwako Tanzania. Na Msaada wa dharura unaopatikana mda wowote.

  • upatikaji wa Matibabu masaa 24
  • upatikanaji wa msaada wowote ndani ya uwezo wetu 24/7
Uzoefu Wetu

Kwa Nini Uchague Zadaawa?

12+
Miaka ya Uzoefu
900+
Hija za Mafanikio
99%
Uridhishaji wa Wateja

Kuhusu Zadaawa

ZADAAWA HAJJ ni taasisi ya HIJJA inayosafirisha WATANZANIA wote kutoka pande zote za DUNIA kwenda kutekeleza IBADA YA HIJJA

Mafunzo kutoka kwa wataalamu wa kidini

Tunafuata misingi ya Quran na Sunnah katika huduma zetu zote.

Uzoefu wa zaidi ya miaka 12

Tumejitolea kuhakikisha kila muislamu anajua nafasi yake katika IBADA hio.

Ofisi zetu ziko Pemba, Unguja, na Dar es Salaam

Kila mwenye uwezo wa kwenda HIJJA aende HIJJA.

900+
Wahiji Walioridhika
12+
Miaka ya Uzoefu
99%
Kiwango cha Uridhishaji
3
Ofisi Zetu

Mahujaji Wetu Wanasemaje

Soma ushuhuda kutoka kwa Mahujaji wetu walioridhika ambao wamekamilisha safari zao za hijja na umrah na Shirika letu la Zadaawa.

Zadaawa ilifanya safari yangu ya Hajj iwe rahisi sana. Makazi yalikuwa bora, napendekeza yoyote kusafiri na Zadaawa

AH
Ahmed Hassan
Dar es Salaam, Tanzania

Uzoefu wangu wa Umrah na Zadaawa ulikuwa zaidi ya matarajio. Timu ilikuwa ya kitaalamu, yenye huruma, na ilihakikisha kila kitu kilikuwa kamili.

FA
Fatima Ali
Zanzibar, Tanzania

Kutoka kwa ushauri wa mwanzo hadi kurudi nyumbani, Zadaawa ilitoa huduma bora. Mafunzo Bora ya hajj yalinisaidia kufanya ibada zangu kwa usahihi.

OM
Omar Mwinyi
Pemba, Tanzania

Ofisi Zetu

Tunapatikana katika maeneo muhimu ya Zanzibar na Tanzania Bara

Pemba

Chake chini ya WIZARA YA AFYA

Jirani na panapouzwa Ticket za Sealink

Ofisi Kuu

0773011414

Unguja

Mchina mwanzo njia ya Jang'ombe

Nyuma ya Masjid Azhar

0777418696

Dar es Salaam

Kinyelezi Mwisho

0778130308